Moto umeteketeza Jengo la Njombe lililopo Ilembula

Tarehe 7 Mei 2020:
Ajali ya moto mapema jioni – jengo limeharibiwa kabisa

Jengo hilo lilitumika kama mabweni ya wanafunzi wa ILVTC. Vitu vyote viliteketezwa.  muda huu wanafunzi watakuwa wakiishi kwenye nyumba ya Mwinjilisti Kiginga ingawa inahitaji ukarabati na umeme.

Mnamo tarehe 14 Mei Mkutano wa ILVTC-Bodi na MAIL-kamati ulijadili kuhusu matokeo ya moto na shughuli zinazofuata. Picha unaweza kuona ⇒ hapa .