Hazina ya KKKT Ilembula

Ndugu washiriki wote wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania:

Je, unajua KKKT ina hazina ya pekee sana – ukilinganisha na Makanisa mengine ya Kilutheri?
Si Ilembula tu, bali katika parokia zote.

Rafiki yetu Lufunyo kutoka Ujerumani aligundua hazina hizi kule Ilembula wakati wa ziara zake – labda utazijua baadhi yake! – na akatoa video.

Unaweza kuona hapa: Hazina katika Ilembula