Karibu na DTF

Habari marafiki zangu, Ninakukaribisha nyumbani kwetu.

» read more

Septemba 2020: Halmashauri Kuu iliamua nafasi ya parokia

Mnamo Septemba 2020 Halmashauri Kuu ya Dayosisi ya Kusini iliteua wachungaji wapya wa parokia nyingi katika wilaya zote. Chini ya safu wima “Wilaya” unaweza kupata majina halisi ya  wachungaji na waweka hazina wa PAROKIA ZOTE katika Dayosisi ya Kusini.Tafadhali waangalie!

» read more

Kusimikwa kwa Askofu Dk.George Fihavango na Askofu Msaidizi Dk.Gabriel Nduye

» read more

Septemba 2020: Halmashauri Kuu iliamua nafasi ya parokia

“Halmashauri Kuu ya KKKT -Dayosisi ya Kusini iliyokutana mwezi Septemba 2020 iliandaa mpango wa kuwabariki Wachungaji wapatao 12 na kuwatuma katika Sharika mbalimbali.Sasa unaweza kuwaona Wachungaji wote wa Dayosisi ya Kusini.

» read more

MCHG. DR. GEORGE MARK FIHAVANGO ASIMIKWA TAR. 13.10.2019 KUWA ASKOFU WA AWAMU YA SITA WA KKKT-DAYOSISI YA KUSINI.

» read more