Askofu Msaidizi Mpya

Tarehe 20 Juni 2024
Mchungaji Dkt Johnson Gudaga
amechaguliwa kuwa Msaidizi wa Askofu.

Alikuwa Mkuu wa Chuo cha Uongozi na Teknolojia cha Amani, kilichopo Njombe.

Uchaguzi ulifanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Igumbilo